kc – Übersetzung – Keybot-Wörterbuch

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Français English Spacer Help
Ausgangssprachen Zielsprachen
Keybot 26 Ergebnisse  www.pep-muenchen.de  Seite 5
  KUOMBEA KIZAZI HIKI AHA...  
Watoto wa Amerika leo ni kizazi kilichopotea. Hakuna kizazi katika historia kimekuwa na ugonjwa wa ngono, madawa ya kulevya, pombe, uchoyo na mauaji kama umri mdogo. Ni nani anayelaumiwa kwa hili?
Amerika se kinders van vandag is ‘n verlore generasie. Geen generasie in die geskiedenis was so geteister deur seks, dwelms, alkohol, hebsug en moord op so ‘n vroeë ouderdom nie. Wie is daarvoor te blameer?
  KUPATA BARAKA ZA MUNGU ...  
Ni muhimu kuona nini Mungu alikuwa akifanya hapa. Kila mwaka wa tatu, miji ya Israeli ikawa vituo vingi vya uhifadhi kwa ajili ya fungu la kumi ya taifa hili la kilimo. Kwa sababu makuhani kutoka kwa kabila la Lawi hawakuruhusiwa kumiliki ardhi, Mungu alisisitiza kuwa watu wawapatie kwa njia maalum.
Il est important de voir ce que Dieu faisait ici. Tous les trois ans, les villes d’Israël devenaient de grands centres de stockage pour les dîmes de cette nation agricole. Comme les prêtres de la tribu de Lévi n’avaient pas de terres, Dieu insistait pour que les gens pourvoient à leurs besoins d’une façon spéciale. Mais ce n’était pas tout. Cette dîme était aussi destinée aux vulnérables et aux défavorisés parmi eux.
“Aan die einde van drie jaar moet jy uitbring al die tiendes van jou opbrings in dié jaar en dit in jou poorte wegsit; dan moet die Leviet kom — omdat hy geen deel of erfenis saam met jou het nie — en die vreemdeling en die wees en die weduwee wat in jou poorte is, en hulle moet eet en versadig word, sodat die HERE jou God jou kan seën in al die werk van jou hand wat jy doen” (Deuteronómium 14:28-29).
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Kwa wengine Kanisani, jambo hili ni zito sana kujaribu kulinganisha na Mungu. Walakini, Biblia inatueleza kuwa yaliompata Petero yamekwisha wapata wengi wapendwa wa Mungu.
For mange i menigheden er det simpelthen for vanskeligt at acceptere dette om en kærlig Gud. Men Skriften viser os igen og igen, at hvad der skete med Peter også skete for andre trofaste troende, som var elsket af Herren.
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Tafakari neno la kutia moyo; Yesu alimueleza Petero, pamoja na Onyo. “nawe ukiisha kunirudia, uwaimarishe ndugu zako.” (Luka 22:32). Neno hili laja pale tu Yesu alipomueleza Petero kuwa atapepetwa, kwa kweli, maneno haya yote yako katika mstari mmoja!
Bedenken Sie die Ermahnung, die Jesus Petrus zusammen mit seiner Warnung gab: „Und wenn du einst zurückgekehrt bist, so stärke deine Brüder!“ (22,32b). Dies folgt der Warnung gegenüber Petrus geradewegs auf dem Fuße, dass er gesichtet werden würde. Tatsächlich steht das alles im selben Vers!
Dink aan die aansporing wat Jesus vir Petrus saam met die waarskuwing gegee het: “En as jy eendag bekeerd is, moet jy jou broeders versterk” (Lukas 22:32). Dit kom net na Jesus se waarskuwing aan Petrus dat hy gesif sou word. Inderdaad, dit is dieselfde vers!
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Walakini, kuna jambo kwa hili nano linalotatanisha wakristo. Ni hili:
Die Here het Satan toegang tot Petrus gegee om hom te toets!
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Walakini, kuna jambo kwa hili nano linalotatanisha wakristo. Ni hili:
Die Here het Satan toegang tot Petrus gegee om hom te toets!
  NGUVU ZA UKWELI | World...  
Kama hatugeuke sana nakuwaza mambo ya mbinguni na tuachane na mambo ya kujifurahisha ya dunia hii imetuzunguka, tutapungukiwa na furaha ya okuvu wetu. Ukweli wa kusikitisha ni kuamba, waumini wengi hawawezi kufurahia wokovu wao kwasababu hawajukumike kwa kutii Neno la Mungu. Kutii kwa Neno hili,ndiyo mahali hapo zinaanzia Baraka na furaha!
As God’s people, we cannot go forward to fullness in Christ if we don’t increasingly separate ourselves from the spirit of this world. If we are not becoming more heavenly minded and less attached to worldly pleasures surrounding us, we will be drained of the joy of our salvation. The sad truth is, many believers are unable to enjoy their salvation because they neglect obeying God’s Word. Obedience to his Word is the place that blessing and joy begin!
  NGUVU ZA KUZIWIA MBINU ...  
Mtume Paulo alitukumbusha kwamba Yesu "amezivua enzi na mamlaka" na "kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo" (Wakolosai 2:15). Kupitia tendo hili, Yesu alitoa kwa kila mmoja wa wafuasi wake uwezo wa kuondoa uovu wakati wowote unapojitokeza mbele yetu.
Nicky Cruz, évangéliste et auteur internationalement connu, s'est tourné vers Jésus Christ en se détournant d'une vie de violence et de crimes, après avoir rencontré David Wilkerson à New York en 1958. L'histoire de sa conversion a d'abord été rapportée dans le livre
Die apostel Paulus het ons herinner dat Jesus “die owerhede en magte uitgeklee en hulle in die openbaar tentoongestel en daardeur oor hulle getriomfeer het” (Kolossense 2:15). Deur  hierdie daad, het Jesus al sy volgelinge die vermoë gegee om boosheid te ontlont wanneer dit ook al in ons teenwoordigheid sy opwagting maak.
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Lakini hebu tazameni, Ukweli huu: Shetani hawezi kutikisa Imani ya mtoto wa Mungu bila ruhusa kutoka Mungu mwenyewe. Neno hili llinatuambia nini? Kwa ufupi:
Men omvendt set er det også et faktum, at Satan ikke kan ryste eller teste troen hos noget barn af Gud uden Herrens tilladelse. Hvad siger det os? Ganske enkelt dette: Gud har et formål og en plan bag hver en prøvelse, som Satan bringer over vore liv.
  "USIPONIBARIKI" | World...  
Labda hiyo ndiyo sababu tunapata baraka kidogo za kimungu juu ya kanisa kwa ujumla na wanachama wake binafsi. Mara nyingi tunaonekana kujaa hali yenye tuko badala ya kufikia zaidi kwa ajili ya Mungu. Kwa sababu ya hili, tunaonekana kuwa na athari kidogo juu ya ulimwengu unaotuzunguka.
Jabes se gebed herinner ons aan Jakob, een van die voorvaders van Israel, wat ook ‘n deurbraak tyd van gebed met God gehad het. Een nag het Jakob gestoei met God-in-die-vorm-van-‘n-mens en het daarna ‘n sin uitgespreek wat baie mense dwarsdeur die eeue geïnspireer het om God vurig vir meer te soek. Toe die man wou weggaan, het Jakob gereageer, “Ek sal U nie laat gaan nie tensy dat U my seën” (Génesis 32:26).
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Kwa waumini wengine, jambo hili kumhusu Mungu Baba halieleweki.
For en del troende stemmer dette faktum om vores himmelske Far ikke.
  KUOMBEA KIZAZI HIKI AHA...  
Shiki hili kwa umakini ahadi hii ya agano kwa watoto wako: "Bwana, aliyekufa na kukuumba toka tumboni, yeye atakayekusaidia, asema hivi; 'Usiogope, Ee Yakobo, mtumishi wangu', na wewe, Yeshuruni, niliyekuchagua. Kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu ya mahali pakavu, nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako, na Baraka yangu juu yao utakaowazaa; nao watatokea katika manyashi, kama mierebi karibu na mifereji ya maji." (Isaya 44:2-4).
Gee in die besonder ag op hierdie verbondsbelofte vir jou kinders: “So sê die HERE, jou Maker en jou Formeerder van die moederskoot af, wat jou help: Wees nie bevrees nie, Jakob, my kneg, en Jesúrun wat Ek uitverkies het. Want Ek sal water giet op die dorsland en strome op die droë grond; Ek sal my Gees op jou kroos giet en my seën op jou nakomelinge. En hulle sal uitspruit tussen die gras in, soos wilgerbome by waterlope” (Jesaja 44:2-4).
  NGUVU ZA UKWELI | World...  
Israeli hayikutaka kupoteza roho yao ya ushujaa ya kufurahia, hivyo walijikusanya tena kwa kutii Mungu kuhusu jambo hili: “ Waliokua wa wazao wa Israeli wakajitenga na wageni wote,wakisimama,wakiziungama zambi zao” (Nehemiah 9:2).
Israel did not want to lose their great spirit of rejoicing so they assembled again to obey God on this matter: “Those of Israelite lineage separated themselves from all foreigners; and they stood and confessed their sins” (Nehemiah 9:2).
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Nataka tu nisisitize hili kwa kuwa ni jambo muhimu mno. Biblia iwazi, nami nawaona waumini wengi walio karibu kukata tama.
Ich mache diese Aussage, einfach weil es eine sehr ernste Angelegenheit ist. Die Bibel stellt das klar. Und ich sehe überall um mich herum viele Gläubige am Rande eines solchen Versagens.
Ek maak eenvoudig hierdie stelling, omdat dit ‘n baie ernstige saak is. Die Bybel maak dit duidelik. En ek sien baie gelowiges rondom my op die randjie van ‘n soortgelyke mislukking.
Men jeg ønsker at udtale mig om det fordi det er en meget alvorlig sag. Bibelen gør det klart. Og jeg ser mange troende omkring mig, som er på nippet til at begå denne fejltagelse.
  KUOMBEA KIZAZI HIKI AHA...  
Ninaamini kwamba jamii yetu yote inakabiliwa na kuanguka kwa maadili. Wazazi wengi, ikiwa ni pamoja na Wakristo, wanalaumu hili, kwenye shule, serikali, vyombo vya habari, kanisa na wenzao wa watoto wao.
Ek is oortuig ons hele samelewing beleef ‘n sedelike ineenstorting. Talle ouers, insluitend Christene, blameer skole, die regering, die media, die kerk en hulle kinders se eweknieë. Al hierdie magte speel ‘n rol in die disintegrasie van ons jeug, maar nie skole, kultuur, media, goddelose musiek of afvallige kerke alleen veroorsaak hierdie ondergang nie. Die verantwoordelikheid vir hierdie geslag jeug rus in der waarheid hoofsaaklik by die ouers. Die huis is waar die meeste saad van wederstrewigheid en goddeloosheid gesaai word.
  UFUNUO WA UPENDO WA MUN...  
Japo kuwa Musa alihubili kuhusu hukumu, alikumbuka kila wakati jambo hili muhimu la tabia ya Mungu. Kwa hakika, Musa aliwahimiza watu, "N wakati uwapo katika mashaka, ukisha kupatwa na mambo haya yoye, siku za mwisho, utamrudia Bwana, Mungu wako, na kuisikiza sauti yake (kwa kuwa Bwana, Mungu wako ni Mungu wa rehema); Yeye hatakukosa wala kukuangamiza, wala hatalisahau agano la baba zako alilowaapia" (Kumbukumbu la Torati 4:30-31).
La fel cum Moise predica avertizări despre judecată, el mereu amintea acest aspect important despre caracterul lui Dumnezeu. Într-adevăr, Moise a îndemnat poporul, „Şi după ce ţi se vor întâmpla toate aceste lucruri în strâmtorarea ta, în zilele de pe urmă, te vei întoarce la Domnul, Dumnezeul tău, şi vei asculta glasul Lui, căci Domnul, Dumnezeul tău, este un Dumnezeu plin de îndurare, care nu te va părăsi şi nu te va nimici; El nu va uita legământul pe care l-a încheiat prin jurământ cu părinții tăi” (Deuteronom 4: 30-31).
  Mungu Hatawahi Kamwe Ku...  
Pale Petero alipokuwa katikati ya vita hivi, Yesu alikuwa akimuombea. Jameni, kwangu mimi, hili ndilo Neno la kutia moyo sana ndani ya Biblia yote: “Lakini nimekuombea wewe Simoni ili imani yako isishindwe,” (Luka 22:32).
Als Petrus genau diese Art von Angriff durchlitt, betete Jesus für ihn. Für mich ist dies einer der ermutigendsten Verse in der ganzen Schrift: „Ich aber habe für dich gebetet, dass dein Glaube nicht aufhöre“ (Lukas 22,32). Bedenken Sie, was Jesus Petrus hier sagte. Er sicherte ihm zu, dass egal was ihm bevorstünde — egal was er durchmacht, einschließlich seiner Christusverleugnung —
Toe Petrus hierdie soort aanslag verduur het, het Jesus vir hom gebid. Vir my was die volgende vers een van die mees bemoedigende verse in die hele Skrif: “Maar Ek het vir jou gebid, dat jou geloof nie ophou nie” (Lukas 22:32). Dink aan wat Jesus hier vir Petrus gesê het. Hy het hom verseker dat dit nie saak maak wat hy mag beleef nie — dit maak nie saak waardeur hy gaan nie, insluitende sy verloëning van Christus —
Mens Peter gennemlevede sådan et angreb, bad Jesus for ham. For mig er det et af de mest opmuntrende vers i hele Bibelen: ”Men jeg bad for dig, for at din tro ikke skal svigte.” (Luk. 22, 31-32). Bemærk hvad Jesus sagde til Peter her. Han forsikrede ham, at uanset hvad der ville komme til at ske, uanset hvad han skulle gennemgå, inklusive hans fornægtelse af Jesus –
  Maneno ya Kutuliza Yeny...  
Jameni jibu letu liwe hili: “Bwana, wewe ndiwe mtenda miujiza. Napeana shaka zangu zote na uoga wangu wote kwako. Ninapeana mikasa na maisha yangu katika uchungaji wako. Najua huta niacha nizimie. Kwa kweli, ninajua lile utakalo tenda kuhusu shida zangu. Ninaamini nguvu zako.”
If you are resigned to his keeping power, you won't be scared by any frightful news. You won't constantly be trying to figure out the next step. It is because you have entrusted your life, family and future into his safe and loving hands. Our great Shepherd knows perfectly how to protect and preserve his flock because he leads us in love.
Abschließend kehre ich zu der Frage zurück, die Jesus Philippus stellte: „Was, meinst du, sollten wir tun?“ Möge unsere Antwort so lauten: „Herr, du bist der Wundertäter. Ich übergebe dir alle meine Zweifel und Ängste. Ich vertraue diese ganze Situation, mein ganzes Leben, deiner Fürsorge an. Ich weiß, dass du nicht zulassen wirst, dass ich schwach werde. Ja, ich erkenne, dass du schon jetzt weißt, was du mit meinem Problem tun wirst. Ich vertraue auf deine Macht.“ Amen!
Se sei arreso alla sua potente custodia, non sarai spaventato da alcuna tremenda notizia; non t’importerà di pensare costantemente al prossimo passo da fare. Questo accade perché hai affidato la tua vita, famiglia nelle Sue amorevoli e sicure mani. Il nostro grande Pastore conosce perfettamente come proteggere e preservare il Suo gregge, perché ci guida con amore.
وان كنت قد أذعنت لقدرته على الحفاظ عليك، فلن ترتعب من الأخبار المخيفة. ولن تقلق على حياتك. ذلك لأنك سلمت حياتك، عائلتك ومستقبلك لبدة الامنه المحبه. الراعي الصالح يعلم جيداً كيف يحمي ويحفظ رعيته، لانه يقودها  بمحبته.