|
“Wanangu wapendwa, mitume wa upendo wangu, inawapasa ninyi kuujulisha upendo wa Mwanangu kwa wale wote ambao hawakumjua. Inawapasa ninyi, mianga midogo ya ulimwengu, ambao mimi ninaifunza kwa upendo wa kimama ili ing'ae waziwazi kwa mwangaza kamili. Sala itawasaidia, maana sala huwaokoa ninyi, sala huuokoa ulimwengu. Kwa hiyo, wanangu, salini kwa maneno, kwa moyo, kwa upendo wenye huruma na kwa sadaka. Mwanangu aliwaonyesha njia: Yeye aliyejimwilisha na kunifanya kuwa kalisi ya kwanza; Yeye ambaye kwa sadaka yake isiyo na kifani aliwaonyesha kama inavyopaswa kupenda. Kwa hiyo, wanangu, msiogope kusema kweli. Msiogope kujigeuza wenyewe na ulimwengu ili kueneza mapendo, mkitenda kila jinsi kusudi Mwanangu aweze kujulikana na kupendwa kwa kuwapenda wengine kwa ajili yake. Mimi, kama mama, nipo daima pamoja nanyi. Namwomba Mwanangu awasaidie ili katika maisha yenu upendo utawale: upendo uishio, upendo uvutao, upendo utoao uzima. Huo ndio upendo ninaowafundisha, upendo safi. Inawapasa ninyi, mitume wangu, kuutambua, kuuishi, kuueneza. Waombeeni wachungaji wenu kwa moyo, ili waweze kumshuhudia Mwanangu kwa upendo. Nawashukuru. ”
|
|
“Dear children, I am calling you to pray, not to ask for but to offer sacrifice - sacrificing yourselves. I am calling you to reveal the truth and merciful love. I am praying to my Son for you, for your faith which is all the more diminishing in your hearts. I am imploring Him to help you with the divine spirit, as I also desire to help you with my motherly spirit. My children, you must be better. Only those who are pure, humble and filled with love sustain the world - they are saving themselves and the world. My children, my Son is the heart of the world. He should be loved and prayed to, and not always betrayed anew. Therefore, you, apostles of my love, spread the faith in the hearts of people by your example, your prayer and merciful love. I am beside you, I will help you. Pray for your shepherds to have all the more light, so as to be able to illuminate all those who live in darkness. Thank you. ”
|
|
«Chers enfants, je vous invite à prier, non pas en demandant mais en offrant le sacrifice - en vous sacrifiant vous-mêmes. Je vous appelle à annoncer la vérité et l'amour miséricordieux. Je prie mon Fils pour vous, pour votre foi qui diminue de plus en plus dans vos cœurs. Je le prie de vous aider par l’Esprit Divin, tout comme je désire vous aider par l’esprit maternel. Mes enfants, vous devez devenir meilleurs. Seuls ceux qui sont purs, humbles et remplis d'amour soutiennent le monde - ils se sauvent eux-mêmes et ils sauvent le monde. Mes enfants, mon Fils est le cœur du monde; il faut l'aimer et le prier au lieu de toujours le trahir à nouveau. C'est pourquoi, vous, apôtres de mon amour, répandez la foi dans le cœur des hommes par votre exemple, par votre prière et l’amour miséricordieux. Je suis à vos côtés; je vous aiderai. Priez pour que vos bergers aient toujours plus de lumière afin de pouvoir éclairer tous ceux qui vivent dans les ténèbres. Je vous remercie. »
|
|
„Drogie dzieci, wzywam was abyście się modlili nie żądając lecz składając ofiarę, ofiarując się. Wzywam was do objawiania prawdy i Miłości Miłosiernej. Ja modlę się za was do mojego Syna, o waszą wiarę, która coraz bardziej maleje w waszych sercach. Proszę Go, aby was wspomógł swoim Boskim Duchem tak jak i ja pragnę wspomagać was moim macierzyńskim duchem. Moje dzieci, musicie stać się lepszymi. Tylko ci czyści, pokorni, napełnieni miłością podtrzymują ten świat, zbawiają siebie i świat. Moje dzieci. Mój Syn jest sercem świata. Powinniście Go kochać i modlić się, a nie wciąż na nowo Go zdradzać. Natomiast wy, apostołowie mojej miłości pomnażajcie wiarę w sercach ludzi poprzez swój przykład, swoją modlitwę i miłość miłosierną Jestem przy was, będę wam pomagać. Módlcie się, aby wasi pasterze mieli jak najwięcej światła i mogli oświecić wszystkich żyjących w ciemności. ”
|