|
|
Mwanamke kutoka AWITA alisema "baadhi ya watu walishiriki kikamilifu katika utekelezaji wa zoezi hili, lakini japokuwa walishiriki wala hawaoni faida yoyote ya kuhesabiwa. Alisema “hatuoni faida yoyote na wala hakuna dalili zozote za mabadiliko katika maendeleo, naona serikali inafanya zoezi hili ili labda tu kujisifia mbele ya mataifa mengine kwamba ina idadi kubwa ya watu. Baada ya sensa huwa hatuoni taarifa yoyote kurudi kwa wananchi, na kuambiwa mikakati yoyote ya kimaendeleo itakayofanyika baada ya zoezi la sensa”.
|
|
|
As the authorities announce that the national population and housing census recorded 80 per cent success, the team learnt that in some suburbs there were misunderstandings between the enumerators and the local government leaders. Furthermore, there are cases when local area government leaders, appointed to accompany the enumerators, abandoned the exercise claiming they were not paid allowances.
|
|
|
A woman from AWITA said “some people co-operated in facilitating the census success, but either don’t see and feel the benefits, or are beneficiaries who aren’t adequately briefed on the link between the two.” In addition to that, they are updated on how the population grows as the years go by, but, either don’t witness changes in sectors like infrastructure that should be visible and public knowledge, or information on such issues is lacking, or doesn’t flow properly and effectively.
|