do not waste time – Swahili Translation – Keybot Dictionary

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch Français Spacer Help
Source Languages Target Languages
Keybot      30 Results   2 Domains
  19 Hits www.sounddimensionsmusic.com  
“Dear children! With a full heart I am asking you, I am imploring you children: cleanse your hearts of sin and lift them up to God and to eternal life. I am imploring you: be vigilant and open for truth. Do not permit for all that is of this earth to distance you from the true cognition of the contentment in the communion with my Son. I am leading you on the way of true wisdom, because only with true wisdom can you come to know true peace and the true good. Do not waste time asking for signs of the Heavenly Father, because He has already given you the greatest sign, which is my Son. Therefore, my children, pray so that the Holy Spirit can lead you into truth, can help you to come to know it, and through that knowledge of the truth that you may be one with the Heavenly Father and with my Son. That is the cogniton which gives happiness on earth and opens the door of eternal life and infinite love. Thank you. ”
“Wanangu wapendwa, ninyi ni nguvu yangu. Ninyi, mitume wangu, ambao, kwa upendo wenu, unyenyekevu na sala ya kimya kimya, mnamwezesha Mwanangu ajulikane. Ninyi mnaishi ndani yangu. Ninyi mnanibeba mioyoni mwenu. Ninyi mnajua ya kuwa mna Mama awapendaye na aliyekuja kuwaletea upendo. Nawatazama katika Baba wa Mbinguni, natazama fikira zenu, maumivu yenu, mateso yenu na kuyaleta kwa Mwanangu. Msiogope! Msipoteze matumaini, maana Mwanangu humsikiliza Mama yake. Yeye hupenda tangu alipozaliwa, na ndio furaha yangu ya kuwa wanangu wote wajue upendo huo; na wote wale ambao, kwa sababu ya maumivu yao na kutoelewa kwao, walimwacha waweze kurudi kwake, na wote wao wasiomjua wamjue. Kwa sababu hiyo ninyi hapa ni mitume wangu, nami pia pamoja nanyi kama Mama yenu. Salini ili kuwa imara katika imani, maana upendo na rehema hutoka katika imani imara. Kwa njia ya upendo na rehema mtawasaidia wale wote wasiofahamu ya kuwa wanachagua giza badala ya nuru. Salini kwa ajili ya wachungaji wenu, maana wao ni nguvu ya Kanisa ambayo Mwanangu aliwaachieni. Kwa njia ya Mwanangu wao ni wachungaji wa roho. Nawashukuru. ”
  11 Hits ec.jeita.or.jp  
“Dear children! With a full heart I am asking you, I am imploring you children: cleanse your hearts of sin and lift them up to God and to eternal life. I am imploring you: be vigilant and open for truth. Do not permit for all that is of this earth to distance you from the true cognition of the contentment in the communion with my Son. I am leading you on the way of true wisdom, because only with true wisdom can you come to know true peace and the true good. Do not waste time asking for signs of the Heavenly Father, because He has already given you the greatest sign, which is my Son. Therefore, my children, pray so that the Holy Spirit can lead you into truth, can help you to come to know it, and through that knowledge of the truth that you may be one with the Heavenly Father and with my Son. That is the cogniton which gives happiness on earth and opens the door of eternal life and infinite love. Thank you. ”
“Wanangu wapendwa, nipo hapa katikati yenu kama Mama atakaye kuwasaidia kuujua ukweli. Nilipokuwa nikiishi maisha kama yenu duniani, nilikuwa nikijua ukweli na kwa hivyo kuwa na kipande cha Mbinguni duniani. Kwa hiyo, wanangu, nataka ninyi pia muwe washiriki wa hali hivyo. Baba wa Mbinguni ataka mioyo minyofu, ijaayo ujuzi wa ukweli: Ataka muwapende wote mnaokutana nao, maana mimi pia nampenda Mwanangu katika ninyi nyote. Huo ndio mwanzo wa ujuzi wa ukweli. Mtapewa kweli nyingi za uongo. Mtazitambua kwa mioyo iliyotakaswa kwa kufunga, kusali, kwa kufanya toba pamoja na kuishika Injili: Huo ndiyo ukweli wa pekee, nao ni ule ambao Mwanangu aliwaachieni. Msiufanyie utafiti mwingi sana: mnaombwa kuupenda na kuutoa, kama vile nilivyofanya mimi pia. Wanangu, mkipenda, mioyo yenu itakuwa maskani ya Mwanangu na yangu, na maneno ya Mwanangu yatakuwa mwongozo wa maisha yenu. Wanangu, nitawatumia, ninyi mitume wa upendo, kusaidia wanangu wote kuujua ukweli. Wanangu, mimi nimeliombea sikuzote Kanisa la Mwanangu, kwa hiyo nawasihi ninyi pia kufanya vile vile. Salini ili wachungaji wenu waangazwe kwa upendo wa Mwanangu. Nawashukuru. ”