not see – Swahili Translation – Keybot Dictionary

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch Français Spacer Help
Source Languages Target Languages
Keybot      19 Results   10 Domains
  www.google.com.mt  
If you’d rather not see someone’s posts on Google+, you can block them by going to their profile and selecting Report/block [person’s name]. You can also mute specific posts to no longer see them in your stream.
Kama hutaki kuona machapisho ya mtu fulani kwenye Google+, unaweza kuyazuia kwa kwenda kwenye wasifu wake na kuchagua Ripoti/zuia [jina la mtu huyo]. Unaweza pia kuzuia machapisho maalum ili usiyaone tena katika mipasho yako.
  www.google.li  
If you find a video on YouTube that you think violates our Community Guidelines, you can flag it as inappropriate and it will be submitted to our team for review. Remember that you can screen content which meets our Community Guidelines but which you’d rather not see by using YouTube Safety Mode.
Ukipata video kwenye YouTube unayofikiria inakiuka Mwongozo wetu wa Jumuia, unaweza kuiripoti kama isiyofaa na itawasilishwa kwa timu yetu ili ikaguliwe. Kumbuka kwamba unaweza kuchuja maudhui ambayo yanaafikiana na Mwongozo wetu wa Jumuia lakini hutaki kuyaona kwa kutumia Hali ya Usalama ya YouTube.
  maps.google.ca  
If you find a video on YouTube that you think violates our Community Guidelines, you can flag it as inappropriate and it will be submitted to our team for review. Remember that you can screen content which meets our Community Guidelines but which you’d rather not see by using YouTube Safety Mode.
Ukipata video kwenye YouTube unayofikiria inakiuka Mwongozo wetu wa Jumuia, unaweza kuiripoti kama isiyofaa na itawasilishwa kwa timu yetu ili ikaguliwe. Kumbuka kwamba unaweza kuchuja maudhui ambayo yanaafikiana na Mwongozo wetu wa Jumuia lakini hutaki kuyaona kwa kutumia Hali ya Usalama ya YouTube.
  www.google.no  
If you find a video on YouTube that you think violates our Community Guidelines, you can flag it as inappropriate and it will be submitted to our team for review. Remember that you can screen content which meets our Community Guidelines but which you’d rather not see by using YouTube Safety Mode.
Ukipata video kwenye YouTube unayofikiria inakiuka Mwongozo wetu wa Jumuia, unaweza kuiripoti kama isiyofaa na itawasilishwa kwa timu yetu ili ikaguliwe. Kumbuka kwamba unaweza kuchuja maudhui ambayo yanaafikiana na Mwongozo wetu wa Jumuia lakini hutaki kuyaona kwa kutumia Hali ya Usalama ya YouTube.
  www.google.ie  
If you find a video on YouTube that you think violates our Community Guidelines, you can flag it as inappropriate and it will be submitted to our team for review. Remember that you can screen content which meets our Community Guidelines but which you’d rather not see by using YouTube Safety Mode.
Ukipata video kwenye YouTube unayofikiria inakiuka Mwongozo wetu wa Jumuia, unaweza kuiripoti kama isiyofaa na itawasilishwa kwa timu yetu ili ikaguliwe. Kumbuka kwamba unaweza kuchuja maudhui ambayo yanaafikiana na Mwongozo wetu wa Jumuia lakini hutaki kuyaona kwa kutumia Hali ya Usalama ya YouTube.
  www.google.co.ke  
If you find a video on YouTube that you think violates our Community Guidelines, you can flag it as inappropriate and it will be submitted to our team for review. Remember that you can screen content which meets our Community Guidelines but which you’d rather not see by using YouTube Safety Mode.
Ukipata video kwenye YouTube unayofikiria inakiuka Mwongozo wetu wa Jumuia, unaweza kuiripoti kama isiyofaa na itawasilishwa kwa timu yetu ili ikaguliwe. Kumbuka kwamba unaweza kuchuja maudhui ambayo yanaafikiana na Mwongozo wetu wa Jumuia lakini hutaki kuyaona kwa kutumia Hali ya Usalama ya YouTube.
  5 Hits www.sounddimensionsmusic.com  
“Dear children, As the Mother of the Church, as your mother, I am smiling as I look at you: how you are coming to me, how you are gathering around me, how you are seeking me. My comings among you are proof of how much Heaven loves you. They indicate to you the way to eternal life, to salvation. My apostles, you who strive to have a pure heart and to have my Son in it, you are on the good way. You who are seeking my Son are seeking the good way. He left many signs of His love. He left hope. It is easy to find Him if you are ready for sacrifice and penance—if you have patience, mercy and love for your neighbors. Many of my children do not see and do not hear because they do not want to. They do not accept my words and my works, yet through me, my Son calls everyone. His Spirit illuminates all of my children in the light of the Heavenly Father, in the unity of Heaven and Earth, in mutual love—because love invokes love and makes works more important than words. Therefore, my apostles, pray for your Church, love it and do works of love. No matter how betrayed or wounded, it is here because it comes from the Heavenly Father. Pray for your shepherds so that in them you may see the greatness of the love of my Son. Thank you. ”
“Wanangu wapendwa, kama Mama wa Kanisa, kama Mama yenu, ninatabasamu nikiwaona kunijia, kukusanyika kandokando yangu na kunitafuta. Ujio wangu katikati yenu ni onyesho la kadiri Mbingu inavyowapenda. Ujio wangu unawaonyesha njia ya kuelekea kwenye uzima wa milele, kuelekea wokovu. Mitume wangu, ninyi mnaojaribu kuwa na moyo safi na Mwanangu ndani yake, ninyi mpo katika njia njema. Ninyi mnamtafuta Mwanangu, mnatafuta njia njema. Yeye aliacha dalili nyingi za upendo wake. Ameacha tumaini. Ni rahisi kumpata, ikiwa mpo tayari kujitolea na kutubu, ikiwa mtakuwa na uvumilivu, rehema na upendo kwa jirani. Wanangu wengi hawaoni wala hawasikii maana hawataki. Hawapokei maneno na matendo yangu, lakini Mwanangu, kwa njia yangu, anawaalika wote. Roho yake huangaza wote katika mwanga wa Baba wa Mbinguni, katika ushirika kati ya Mbingu na dunia, katika upendano; maana upendo huita upendo na kutenda ili matendo yawe muhimu kuliko maneno. Kwa hiyo, mitume wangu, mliombee Kanisa lenu, lipende na tendeni matendo ya upendo. Ingawa limesalitiwa na kujeruhiwa, lipo hapa kwa sababu hutoka kwa Baba wa Mbinguni. Muwaombeeni wachungaji wenu, ili kuona ndani yao ukuu wa upendo wa Mwanangu. Nawashukuru. ”