you so – Swahili Translation – Keybot Dictionary

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch Français Spacer Help
Source Languages Target Languages
Keybot      40 Results   14 Domains
  www.google.com.mt  
If you see a message from someone you know that doesn’t seem like them, their account may have been compromised by a cyber criminal who is trying to get money or information from youso be careful how you respond. Common tactics include asking you to urgently send them money, claiming to be stranded in another country or saying that their phone has been stolen so they cannot be called. The message may also tell you to click on a link to see a picture, article or video, which actually leads you to a site that might steal your information – so think before you click!
Ukiona ujumbe kutoka kwa mtu unayemfahamu ambao hauonekani kama umetumwa na yeye, huenda akaunti yake imevamiwa na mhalifu wa mtandaoni ambaye anajaribu kupata pesa au maelezo kutoka kwako - hivyo kuwa mwangalifu jinsi unavypojibu. Mbinu za kawaida ni pamoja na kukuuliza umtumie pesa kwa dharura, akidai ametelekezwa katika nchi nyingine au akisema kuwa simu yake imepotea kwa hivyo hawezi kupigiwa. Ujumbe huo pia unaweza ukakwambia ubofye kiungo ili uone picha, makala au video, ambayo kwa kweli itakupeleka kwenye tovuti ambayo inaweza kukuibia maelezo yako - hivyo fikiria kabla hujabofya!
  3 Hits www.google.ie  
If you see a message from someone you know that doesn’t seem like them, their account may have been compromised by a cyber criminal who is trying to get money or information from youso be careful how you respond. Common tactics include asking you to urgently send them money, claiming to be stranded in another country or saying that their phone has been stolen so they cannot be called. The message may also tell you to click on a link to see a picture, article or video, which actually leads you to a site that might steal your information – so think before you click!
Ikiwa unaona ujumbe kutoka kwa mtu unayemfahamu ambao hauonekani kama yeye, akaunti yake inaweza ikawa imeathiriwa na mhalifu wa mtandaoni ambaye anajaribu kupata pesa au maelezo kutoka kwako - hivyo kuwa mwangalifu jinsi unavypojibu. Mbinu za kawaida ni pamoja na kukuuliza uwatumie pesa kwa dharura, wakidai wametelekezwa katika nchi nyingine au wakisema kuwa simu zao zimepotea ili wasiweze kupigiwa. Ujumbe huo pia unaweza ukakwambia ubofye kwenye kiungo ili uone picha, makala au video, ambayo kwa kweli itakuongoza kwenda kwa tovuti ambayo inaweza kukuibia maelezo yako - hivyo fikiria kabla hujabofya!
  2 Hits www.google.de  
If you see a message from someone you know that doesn’t seem like them, their account may have been compromised by a cyber criminal who is trying to get money or information from youso be careful how you respond. Common tactics include asking you to urgently send them money, claiming to be stranded in another country or saying that their phone has been stolen so they cannot be called. The message may also tell you to click on a link to see a picture, article or video, which actually leads you to a site that might steal your information – so think before you click!
Ikiwa unaona ujumbe kutoka kwa mtu unayemfahamu ambao hauonekani kama yeye, akaunti yake inaweza ikawa imeathiriwa na mhalifu wa mtandaoni ambaye anajaribu kupata pesa au maelezo kutoka kwako - hivyo kuwa mwangalifu jinsi unavypojibu. Mbinu za kawaida ni pamoja na kukuuliza uwatumie pesa kwa dharura, wakidai wametelekezwa katika nchi nyingine au wakisema kuwa simu zao zimepotea ili wasiweze kupigiwa. Ujumbe huo pia unaweza ukakwambia ubofye kwenye kiungo ili uone picha, makala au video, ambayo kwa kweli itakuongoza kwenda kwa tovuti ambayo inaweza kukuibia maelezo yako - hivyo fikiria kabla hujabofya!
  2 Hits maps.google.ca  
If you see a message from someone you know that doesn’t seem like them, their account may have been compromised by a cyber criminal who is trying to get money or information from youso be careful how you respond. Common tactics include asking you to urgently send them money, claiming to be stranded in another country or saying that their phone has been stolen so they cannot be called. The message may also tell you to click on a link to see a picture, article or video, which actually leads you to a site that might steal your information – so think before you click!
Usijaze fomu zozote au skrini za kuingia ambazo zinaweza zikawa zimeunganishwa kwenye ujumbe huo. Ikiwa mtu shukiwa atakuuliza ujaze fomu na maelezo yako binafsi usijaribiwe ili kuanza kuzijaza. Hata kama usipogonga kitufe cha "wasilisha", bado unaweza ukawa unatuma maelezo yako kwa wezi wa utambulisho ikiwa unaanza kuweka data yako katika fomu zao.
  2 Hits mail.google.com  
If you see a message from someone you know that doesn’t seem like them, their account may have been compromised by a cyber criminal who is trying to get money or information from youso be careful how you respond. Common tactics include asking you to urgently send them money, claiming to be stranded in another country or saying that their phone has been stolen so they cannot be called. The message may also tell you to click on a link to see a picture, article or video, which actually leads you to a site that might steal your information – so think before you click!
Usijaze fomu zozote au skrini za kuingia ambazo zinaweza zikawa zimeunganishwa kwenye ujumbe huo. Ikiwa mtu shukiwa atakuuliza ujaze fomu na maelezo yako binafsi usijaribiwe ili kuanza kuzijaza. Hata kama usipogonga kitufe cha "wasilisha", bado unaweza ukawa unatuma maelezo yako kwa wezi wa utambulisho ikiwa unaanza kuweka data yako katika fomu zao.
  13 Hits www.sounddimensionsmusic.com  
“Dear children, My real, living presence among you should make you happy because this is the great love of my Son. He is sending me among you so that, with a motherly love, I may grant you safety; that you may comprehend that pain and joy, suffering and love, make your soul live intensely; that I may call you anew to glorify the Heart of Jesus, the heart of faith, the Eucharist. From day to day through the centuries, my Son, alive, returns among you - He returns to you, though He has never left you. When one of you, my children, returns to Him, my motherly heart leaps with joy. Therefore, my children, return to the Eucharist, to my Son. The way to my Son is difficult, full of renunciations, but at the end, there is always the light. I understand your pains and sufferings, and with motherly love I wipe your tears. Trust in my Son, because He will do for you what you would not even know how to ask for. You, my children, you should be concerned only for your soul, because it is the only thing on earth that belongs to you. You will bring it, dirty or clean, before the Heavenly Father. Remember, faith in the love of my Son will always be rewarded. I implore you, in a special way, to pray for those whom my Son called to live according to Him and to love their flock. Thank you. ”
“Wanangu wapendwa, uwepo wangu halisi na wa uhai katikati yenu uwafanye kuwa wenye furaha kwani huo ni upendo mkuu wa Mwanangu. Yeye ananituma katikati yenu ili, kwa upendo wa kimama, Mimi niwaimarishe; ili muelewe kwamba maumivu na furaha, mateso na mapendo husaidia nafsi yenu kuishi kwa bidii zaidi; ili niwaalike tena kuadhimisha Moyo wa Yesu, moyo wa imani: Ekaristi. Mwanangu, siku kwa siku, hurudi hai katikati yenu: huwarudia, hata kama hakuwaacha kamwe. Wakati mmoja wenu, wanangu, anamrudia, Moyo wangu wa kimama hushtuka kwa furaha. Kwa hiyo Wanangu, irudieni Ekaristi, mrudieni Mwanangu. Njia ya kumrudia Mwanangu ni ngumu na imejaa kujinyima lakini mwishowe, kuna mwanga siku zote. Naelewa maumivu yenu na mateso yenu, na kwa upendo wa kimama, ninapangusa machozi yenu. Mtumainini Mwanangu, kwa maana Yeye atawafanyieni neno msilojua hata kuomba. Ninyi, wanangu, fikirieni nafsi yenu tu, kwani nafsi ni kitu cha pekee mliyo nayo duniani. Chafu ama safi, mtaichukua mbele ya Baba aliye Mbinguni. Kumbukeni: imani katika upendo wa Mwanangu hulipwa siku zote. Nawaambieni kuwaombea hasa wale ambao Mwanangu aliwaita kuishi wakimfuata na kulipenda kundi lao. Nawashukuru. ”