esmasündinu – Swahili Translation – Keybot Dictionary

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch Français Spacer Help
Source Languages Target Languages
Keybot      18 Results   2 Domains
  9 Hits biblebasicsonline.com  
2. Jeesus oli esmasündinu, mis tähendab algust. Ei ole selliseid tunnistusi, et Jeesus oli Jumala esmasündinu enne maailma loomist. Värsid nagu 2Kuningate raamat 7:14 ja Laulud 89:27 ennustasid, et Taaveti järeltulijast saab Jumala esmasündinu.
Yesu alikuwa"Mzaliwa wa kwanza"ambaye anadokezwa kuanza. Hakuna ushahidi wa kwamba Yesu alikuwa ni"Mzaliwa wa kwanza"kabla ya uumbaji wa dunia yenyewe. Mafungu ya Maneno kama yaliyo kwa 2 Sam. 7: 14 na Zab. 89: 27 yalitabiri kwamba mtoto halisi wa Daudi atakuwa mzaliwa wa kwanza wa Mungu. Ni wazi hakuwahi kuwapo wakati maneno haya yakiandikwa, na kwa sababu hiyo sio wakati wa uumbaji wa mwanzo. Yesu alidhihirishwa"kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu", kwa ufufuo wa wafu (Rum. 1: 4) Mungu kwa kutimiza ahadi iliyomfufua Yesu kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili; Yesu akawa mzaliwa wa kwanza kwa kufufuliwa kwake. Ujue vilevile kuwa mwana aliyesimama mkono wa kuume wa Baba yake ameungwa pamoja na kuwa mzaliwa wa kwanza (Mwa. 48: 13 -16), naye Kristo aliinuliwa mkono wa kuume wa Mungu baada ya kufufuliwa kwake (Matendo.2: 33; Ebra. 1:3).
  9 Hits www.biblebasicsonline.com  
2. Jeesus oli esmasündinu, mis tähendab algust. Ei ole selliseid tunnistusi, et Jeesus oli Jumala esmasündinu enne maailma loomist. Värsid nagu 2Kuningate raamat 7:14 ja Laulud 89:27 ennustasid, et Taaveti järeltulijast saab Jumala esmasündinu.
Yesu alikuwa"Mzaliwa wa kwanza"ambaye anadokezwa kuanza. Hakuna ushahidi wa kwamba Yesu alikuwa ni"Mzaliwa wa kwanza"kabla ya uumbaji wa dunia yenyewe. Mafungu ya Maneno kama yaliyo kwa 2 Sam. 7: 14 na Zab. 89: 27 yalitabiri kwamba mtoto halisi wa Daudi atakuwa mzaliwa wa kwanza wa Mungu. Ni wazi hakuwahi kuwapo wakati maneno haya yakiandikwa, na kwa sababu hiyo sio wakati wa uumbaji wa mwanzo. Yesu alidhihirishwa"kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu", kwa ufufuo wa wafu (Rum. 1: 4) Mungu kwa kutimiza ahadi iliyomfufua Yesu kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili; Yesu akawa mzaliwa wa kwanza kwa kufufuliwa kwake. Ujue vilevile kuwa mwana aliyesimama mkono wa kuume wa Baba yake ameungwa pamoja na kuwa mzaliwa wa kwanza (Mwa. 48: 13 -16), naye Kristo aliinuliwa mkono wa kuume wa Mungu baada ya kufufuliwa kwake (Matendo.2: 33; Ebra. 1:3).