|
|
"Rakkaat lapset, pyydän teitä olemaan rohkeita ja kestäviä, sillä pieninkin hyvä, pieninkin rakkauden merkki voittaa pahan, joka on yhä näkyvämpi. Lapseni, kuunnelkaa minua, jotta hyvä voittaisi ja oppisitte tuntemaan Poikani rakkauden. Tämä on suurin onni: Poikani syleilevät kädet, Hänen, joka rakastaa sielua, Hänen, joka uhrasi itsensä teidän puolestanne, ja tekee sen yhä uudestaan eukaristiassa, Hänen, jolla on ikuisen elämän sanat. Hänen rakkautensa tunteminen, Hänen jalanjäljissään seuraaminen tarkoittaa rikasta hengellistä elämää. Se on rikkautta, joka tuo hyvän mielen ja näkee rakkautta ja hyvyyttä kaikkialla. Rakkauteni apostolit, lapseni, olkaa kuin auringonsäteet, jotka lämmittävät Poikani rakkaudella kaikkia lähellä olevia. Lapseni, maailma tarvitsee rakkauden apostoleja ja paljon rukousta, rukousta, joka lausutaan sydämestä ja sielusta, ei vain huulia liikuttamalla. Lapseni, pyrkikää pyhyyteen, nöyryydessä. Nöyryydessä, joka sallii Poikani toimia kauttanne tahtonsa mukaan. Lapseni, rukouksenne, sananne, ajatuksenne ja tekonne - tämä kaikki joko avaa tai sulkee ovet taivaan valtakuntaan. Poikani näytti teille tien ja antoi teille toivon, ja minä lohdutan ja rohkaisen teitä. Sillä lapseni, minä kärsin, mutta minulla oli uskoa ja toivoa. Nyt olen saanut elämän palkkion Poikani valtakunnassa. Kuunnelkaa siis minua, olkaa rohkeita, älkääkä luovuttako! Kiitos. "
|
|
|
“Wanangu, Moyo wangu wa kimama unateseka wakati ninapotazama wanangu wasiopenda ukweli, wanaouficha; wakati ninapotazama wanangu wasiosali kwa moyo wala kwa matendo. Nimesikitika wakati ninapomwambia Mwanangu ya kuwa wana wangu wengi hawana imani tena, ya kuwa hawamjui Yeye, Mwanangu. Kwa hiyo ninawaalika, mitume wa upendo wangu: mjaribu kutazama mpaka ndani ya mioyo ya watu, na kule bila shaka mtapata hazina ndogo iliyofichwa. Kutazama hivyo ni rehema ya Baba wa mbinguni. Kutafuta mema hata palipo maovu makubwa zaidi, kutafuta kuwaelewana wala kutohukumiana: hilo ni neno ambalo Mwanangu anawaombeni. Nami, kama Mama, ninawaalika kumsikiliza. Wanangu, roho ni yenye nguvu kuliko mwili na, ikichukuliwa na upendo na matendo hushinda vikwazo vyote. Msisahau: Mwanangu aliwapendeni na anawapenda. Upendo wake ni pamoja nanyi na ndani yenu, wakati mpo kitu kimoja pamoja naye. Yeye ni mwanga wa ulimwengu, na hakuna mtu wala kitu kiwezacho kumsimamisha katika utukufu wa mwisho. Kwa hiyo, mitume wa upendo wangu, msiwe na hofu ya kushuhudia ukweli! Ushuhudieni kwa hamu, kwa matendo, kwa upendo, kwa sadaka yenu, lakini hasa kwa unyenyekevu. Shuhudieni ukweli kwa wale ambao hawajajua Mwanangu. Mimi nitakuwa karibu nanyi, mimi nitawatia moyo. Shuhudieni upendo usioishi tena, maana huja kutoka Baba wa mbinguni ambaye ni wa milele na anawatolea wana wangu wote umilele. Roho wa Mwanangu itakuwa karibu nanyi. Ninawaalika tena, wanangu: muwaombee wachungaji wenu, ombeni ili upendo wa Mwanangu uweze kuwaongoza. Nawashukuru. ”
|