lakik – Swahili Translation – Keybot Dictionary

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch Français Spacer Help
Source Languages Target Languages
Keybot      10 Results   4 Domains
  6 Hits wordplanet.org  
40Monda nékik: Jõjjetek és lássátok meg. Elmenének és megláták, hol lakik; és nála maradának azon a napon: vala pedig körülbelül tíz óra.
39 Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.
  www.biblebasicsonline.com  
Hasonlóképpen Ezékiel próféta a cédrusról szóló példázatában ezt írja: "…a magas cédrus …tetejéről letépek egy gyenge hajtást, és elültetem…" amely egy olyannyira hatalmas fává lesz, hogy "…mindenféle szárnyas lakik lombja árnyékában" (Ezék.17:22,23).
Mkazo wa "kumwamini Kristo" unakuwa na maana zaidi mara ukifahamika ya kwamba cheo ‘Kristo’ kinaweza kusomwa kwa maana ile ile katika lugha moja ya maneno mengine ya Ufalme wa Kristo. Hivyo Bwana wetu aliwambia Mafarisayo ya kwamba hawakuwa na haja ya kwenda kuzunguka wakitarajia kuja kwa Masihi, kwa kuwa alikuwa tayari amesimama miongoni mwao. Ameeleza hivi kwa maneno "…Ufalme wa Mungu huko kati yenu(B.H.N)" (Lk. 17:21), waonyesha kwamba "Ufalme" utalingana na Mfalme wa Ufalme. Mahubiri ya Yohana ya kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia basi alikuwa anatoa habari ya kudhihirika kwa Kristo. Jiwe linaloponda sanamu ya ndoto ya Nebukadneza lasimama badala ya Ufalme wa Mungu (Dan 2:44); ni jiwe/Ufalme " utakaovunja falme zote hizi vipande vipande na kuziharibu", habari yaaonyesha kwamba jiwe ni Ufalme utakaovunja sanamu, vile vile’ baada ya kuziharibu. Katika uzi wa mfano mmoja wa Ezekieli na mzabibu kimeelezewa "kitawi chororo" vijiti vyake vimekatwa na kupandikizwa, hata ukawa ni mti mkubwa, " na chini yake watakaa ndege wa kila namna ya mbawa" (Ezekiel 17:22,23). Unapaswa huu mfano kuwa unamtaja Kristo, "mche mwororo" wa Isaya 53:2; hata hivyo upo muungano dhahiri wa mfano wake wa mbegu ya haradali, ambapo Ufalme wa Mungu umelinganishwa na punje ndogo ya mbegu ikakuwa hata ikawa mti mkubwa, chini yake ndege wa aina mbalimbali wakaweka viota vyao. Muungano huu kati ya neno la Ufalme na Yesu mwenyewe nafsi yake inaonyesha kwamba alijiona mwenyewe kuwa ni neno lililohai la Ufalme. Kwa mwanga huu unaelekea kwamba ‘kumwamini Kristo na kuiamini Injili yote ya Ufalme wa Mungu vyote ni mamoja.
  biblebasicsonline.com  
Hasonlóképpen Ezékiel próféta a cédrusról szóló példázatában ezt írja: "…a magas cédrus …tetejéről letépek egy gyenge hajtást, és elültetem…" amely egy olyannyira hatalmas fává lesz, hogy "…mindenféle szárnyas lakik lombja árnyékában" (Ezék.17:22,23).
Mkazo wa "kumwamini Kristo" unakuwa na maana zaidi mara ukifahamika ya kwamba cheo ‘Kristo’ kinaweza kusomwa kwa maana ile ile katika lugha moja ya maneno mengine ya Ufalme wa Kristo. Hivyo Bwana wetu aliwambia Mafarisayo ya kwamba hawakuwa na haja ya kwenda kuzunguka wakitarajia kuja kwa Masihi, kwa kuwa alikuwa tayari amesimama miongoni mwao. Ameeleza hivi kwa maneno "…Ufalme wa Mungu huko kati yenu(B.H.N)" (Lk. 17:21), waonyesha kwamba "Ufalme" utalingana na Mfalme wa Ufalme. Mahubiri ya Yohana ya kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia basi alikuwa anatoa habari ya kudhihirika kwa Kristo. Jiwe linaloponda sanamu ya ndoto ya Nebukadneza lasimama badala ya Ufalme wa Mungu (Dan 2:44); ni jiwe/Ufalme " utakaovunja falme zote hizi vipande vipande na kuziharibu", habari yaaonyesha kwamba jiwe ni Ufalme utakaovunja sanamu, vile vile’ baada ya kuziharibu. Katika uzi wa mfano mmoja wa Ezekieli na mzabibu kimeelezewa "kitawi chororo" vijiti vyake vimekatwa na kupandikizwa, hata ukawa ni mti mkubwa, " na chini yake watakaa ndege wa kila namna ya mbawa" (Ezekiel 17:22,23). Unapaswa huu mfano kuwa unamtaja Kristo, "mche mwororo" wa Isaya 53:2; hata hivyo upo muungano dhahiri wa mfano wake wa mbegu ya haradali, ambapo Ufalme wa Mungu umelinganishwa na punje ndogo ya mbegu ikakuwa hata ikawa mti mkubwa, chini yake ndege wa aina mbalimbali wakaweka viota vyao. Muungano huu kati ya neno la Ufalme na Yesu mwenyewe nafsi yake inaonyesha kwamba alijiona mwenyewe kuwa ni neno lililohai la Ufalme. Kwa mwanga huu unaelekea kwamba ‘kumwamini Kristo na kuiamini Injili yote ya Ufalme wa Mungu vyote ni mamoja.