hasa – Übersetzung – Keybot-Wörterbuch

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Français English Spacer Help
Ausgangssprachen Zielsprachen
Keybot 4 Ergebnisse  www.werma.se
  swahili_marybaxter_divi...  
Mambo mengine siwezi kuyaandika kwenye karatasi; yalikuwa yanatisha mno kuyaeleza. Kuzimu hofu unaisikia hasa, na nilijua kwamba kama nisingelikuwa na Yesu nisingeweza kurudi. Katika kuandika haya, baadhi ya mambo niliyoyaona sikuyaelewa, lakini Bwana anajua yote, na alinisaidia kuelewa mambo mengi niliyoyona.
Hija mía, te llevaré al infierno por mi Espíritu y te enseñaré muchas cosas que quiero que el mundo conozca. Yo me manifestaré muchas veces a quí, sacaré tu Espíritu de tu cuerpo, y te llevaré directamente al infierno.
Igen gik vi ind imellem de flammende grave og passerede flere mennesker, som havde de samme lidelser, jeg har beskrevet tidligere. Åh, min Gud, hvilken gru! Tænkte jeg. Vi gik stadig videre og forbi mange, mange sjæle der brændte i helvedet.
"Hjelp meg, Herre," ropte jeg. "Satan ønsker ikke at vi skal vite sannheten om helvete. I alle mine villeste drømmer, trodde jeg aldri at helvete ville være som dette. Kjære Jesus, når vil dette ta slutt?"
Vi kom till nästa grop. I den här gropen, som hade samma storlek som den förra, fanns ett annat skelett liknande varelse. En mans röst ropade från gropen och sade, ”Herre, ha förbarmande med mig”! Bara när de talade kunde jag veta om själen var en man eller kvinna.
  swahili_marybaxter_divi...  
Yesu alisema, “Mtu yeyote akitaka aje kwangu, na anayepotea maisha yake kwa ajili yangu atapata maisha, naam, kwa wingi zaidi. Lakini watenda dhambi lazima watubu wangali hai duniani. Watakuwa wamechelewa wakitaka kutubu wakifika hapa. Wakosaji wengi wanataka kumtumikia Mungu na Shetani, au wanadhani kwamba wana muda usio kikomo wa kukubali neema ambayo Mungu anatoa. Wenye hekima hasa watachagua leo nani wa kumtumikia.”
La voz de una mujer dijo, “Ayúdame.” Miré a un par de ojos reales, no las cuencas quemadas que eran señal de haberse quemado. Yo estaba tan triste que me dió escalofrío y sentí una gran pena y dolor por esta alma. Quería intensamente sacarla de la celda y correr con ella. Ella dijo, “Es tan doloroso, Señor, yo haré lo correcto ahora. Yo te conocí una vez y tu eras mi Salvador.” Sus manos apretaron las barras de la celda. “ Porqué no quieres ser mi Salvador ahora?” Grandes pedazos de carne en fuego caían de ella y solamente sus huesos apretaban las barras.
  swahili_marybaxter_divi...  
Yesu alisema, “Jengo hili la selo lina urefu wa maili kumi na saba kwenda juu, kuanzia chini ya kuzimu. Katika selo hizi kuna roho nyingi ambazo zilikuwa katika uchawi na ulozi. Zingine zilikuwa na udanganyifu wa mazingaombwe, mizimu, wauzaji wa dawa za kulevya, waabudu sanamu, au watu wabaya wenye roho za utambuzi. Hizi ni roho ambazo zilifanya machukizo makubwa kwa Mungu. Nyingi kati ya hizi zimekuwepo hapa kwa miaka mia nyingi. Hizi hazikutaka kutubu, hasa zile zilizowadanganya watu na kuwapeleka mbali na Mungu. Roho hizi zimefanya mabaya mengi dhidi ya Mungu na watu wake. Zilifurahia uovu na dhambi.”
Jeg betragtede Satan, medens en rødgul flamme med brune yderkanter voksede rundt om ham. En vild kastevind blæste i hans klæder, som ikke brændte. Lugten af brændende kød fyldte luften, og jeg forstod igen at helvedets gruefuldhed er virkelig. Satan gik igennem flammerne, og de kunne ikke brænde ham. Selv om jeg bare så hans ryg, kunne jeg høre hans onde latter overalt.
  swahili_marybaxter_divi...  
Yule mwanamke alimlilia Yesu, “Roho yangu iko kwenye mateso hasa. Hakuna njia ya kutokea. Najua kwamba niliupenda ulimwengu badala ya kukupenda wewe, Bwana. Nilitaka utajiri, sifa, na mali, na nilivipata. Niliweza kununua chochote nilichokihitaji; nilikuwa bwana wangu mwenyewe. Wakati wangu nilikuwa mwanamke mzuri kupita wote, mwenye kujua kuvaa kuliko wote. Nilikuwa na utajiri, sifa na mali, lakini niligundua kwamba nisingweza kwenda navyo kaburini. O Bwana kuzimu kunatisha. Sina kupumzika mchana na usiku. Kila wakati niko kwenye mateso na maumivu. Nisaidie Bwana,” alilia
Jesús dijo, “Ellos tienen predicadores, maestros, ancianos— todos ministrando el evangelio. Ellos se lo dirán. Ellos también tienen la ventaja de los modernos sistemas de comunicación y muchas otras maneras para aprender de mi. Yo les he enviado obreros para que puedan creer y sean salvos. Si ellos no creyeren cuando escuchen el evangelio, tampoco serán persuadidos aunque alguien resucite de los muertos.”
"Minha filha", Ele disse, "Deus, o nosso Pai, deu a cada um o livre arbítrio, para que escolha a quem servir a Ele ou a Satanás. Você vê, Deus não fez o inferno para o Seu povo. Satanás engana a muitos, levando-os a segui-lo, mas o inferno foi feito para Satanás e seus anjos. Não é o Meu desejo e nem o do Meu Pai, que qualquer um pereça." Lágrimas de compaixão escorriam pela face de Jesus.