|
Kristo"akajifanya kuwa hana utukufu", Ukitamka unabii wa kusulubiwa kwake katika Isaya 53:12:"Alimwaga nafsi yake hata kufa", Yeye mwenyewe akatwaa namna (mwenendo) ya- wa mtumwa". Kwa msimamo wake wa kuwa kama mtumwa kwa wafuasi wake (Yn. 13:14), ulijionyesha kwa ukuu na kufa kwake msalabani (Math.20:28). Isaya 52:14 ulitabiri kuhusu mateso ya Kristo ya kwamba juu ya msalaba"uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi mtu yeyote, na umbo lake zaidi ya mwanadamu". Uendelevu huu wa kujinyenyekeza mwenyewe"hata mauti, naam mauti ya msalaba"ulikuwa ni jambo lingine lililotokea wakati wa maisha yake na kufa, sio wakati wa kuzaliwa kwake. Tumeonyesha maneno ya fungu hili yakitaja nia ya Yesu, unyenyekevu ulioshikwa kwa ajili yetu ukiwa ni mfano wa kuiga.
|
|
4) - Le Christ "ne se faisait aucune réputation", ou "se vidait lui-même" (R.V.), faisant allusion à la prophétie de sa crucifixion dans Ésaïe 53:12: "Il déversait son âme jusqu’à la mort". Il "prenait la forme (le comportement) d’un serviteur" lorsqu’il prenait l’attitude d’un serviteur envers ses disciples (Jean 13:14), et encore plus suprêmement lorsqu’il mourait sur la croix (Matthieu 20:28). Ésaïe 52:14 prédisait ceci, au sujet des souffrances du Christ sur la croix: "son visage était tellement déparé, plus que tout homme, et sa forme, plus que les fils des hommes". Cette humiliation progressive de lui-même "jusqu’à la mort, même en sa mort sur la croix" était quelque chose qui avait lieu toute sa vie et jusqu’en sa mort, mais non quelque chose qu’il possédait à sa naissance. On a vu que le contexte de ce passage a rapport à l’esprit de Jésus, dont l’humilité nous est présenté comme exemple à suivre. Ces versets doivent donc nous parler de la vie de Jésus sur la terre, portant notre nature, et de son humiliation, même s’il avait un esprit complètement conforme à celui de Dieu, afin de considérer nos besoins.
|