|
“Wanangu wapendwa, nawashukuru kwa kuitikia miito yangu na kukusanyika karibu nami, Mama yenu wa mbinguni. Najua kwamba mnanifikiri kwa upendo na matumaini. Mimi ninawapendeni nyote kama vile anavyowapendeni Mwanangu ambaye, kwa upendo wake wenye huruma, ananituma nije kwenu, mara nyingi pia. Yeye, aliyekuwa mtu na aliye Mungu, Mmoja na Utatu; Yeye aliyeteswa kwa ajili yenu mwilini na nafsini. Yeye aliyejifanya Mkate ailishe nafsi zenu na hivyo kuziokoa. Wanangu, nawafundisha jinsi ya kustahili upendo wake, kumwelekeza mawazo yenu, kumwishi Mwanangu. Mitume wa upendo wangu, ninawafunika kwa joho langu kwa sababu, kama Mama yenu, nataka kuwalinda. Nawasihi: mwuombee ulimwengu wote: moyo wangu unateswa. Dhambi zinaongezeka, ni nyingi mno. Lakini kwa msaada wenu – mlio wanyenyekevu, wanyofu, wenye upendo, watawa na watakatifu – moyo wangu utashinda. Mpendeni Mwanangu kupita wote na ulimwengu wote kwa njia yake. Msisahau kabisa ya kuwa kila ndugu yenu ana ndani yake kitu cha thamani: nafsi. Kwa hiyo, wanangu, pendeni wale wote wasiomjua Mwanangu ili kwa njia ya maombi na upendo utokao katika maombi, wawe wema zaidi. Ili wema uweze kushinda ndani yao. Ili nafsi zao ziweze kuokoka na kupata uzima wa milele. Enyi mitume wangu, wanangu. Mwanangu aliwaambieni mpendane. Hiyo iandikwe mioyoni mwenu na kwa kusali jaribuni kuishi upendo huu. Nawashukuru. ”
|
|
«Chers enfants, par la volonté du Père Céleste, en tant que mère de Celui qui vous aime, je suis ici avec vous pour vous aider à le connaître et à le suivre. Mon Fils vous a laissé les empreintes de ses pas afin que vous puissiez le suivre plus facilement. N’ayez pas peur, ne soyez pas indécis. Je suis avec vous. Ne vous laissez pas décourager car beaucoup de prières et de sacrifices sont nécessaires pour ceux qui ne prient pas, qui n’aiment pas et qui ne connaissent pas mon Fils. Venez-leur en aide en voyant en eux des frères. Apôtres de mon amour, soyez à l’écoute de ma voix en vous; ressentez mon amour maternel; pour cela, priez, priez en agissant, priez en donnant, priez avec amour, priez par les œuvres et par la pensée, au nom de mon Fils. Plus vous donnerez de l’amour, plus vous en recevrez. L’amour qui procède de l’Amour éclaire le monde. La Rédemption est l’amour, or l’amour n’a pas de fin. Quand mon Fils viendra à nouveau sur la terre, il recherchera l’amour dans vos cœurs. Mes enfants, nombreux sont les actes d’amour qu’il a posés pour vous. Je vous enseigne à les voir, à les comprendre et à lui rendre grâce en l’aimant et en pardonnant toujours à votre prochain, car aimer mon Fils signifie pardonner. On n’aime pas mon Fils si on refuse de pardonner à son prochain, si on refuse d’essayer de le comprendre, si on le juge. Mes enfants, à quoi la prière vous sert-elle si vous n’aimez pas et si vous ne pardonnez pas ? Je vous remercie. »
|