zones – Traduction en Français – Dictionnaire Keybot

Spacer TTN Translation Network TTN TTN Login Deutsch English Spacer Help
Langues sources Langues cibles
Keybot 7 Résultats  ec.jeita.or.jp  Page 6
  Medjugorje Messages Con...  
Thamani
18E
  Monthly Medjugorje Mess...  
“Wanangu wapendwa! Salini na mfahamu ya kwamba pasipo Mungu ninyi ni mavumbi. Kwa hiyo geuzeni fikira zenu na mioyo yenu kwa Mungu na kwa sala. Tegemeeni upendo Wake. Katika Roho ya Mungu ninyi nyote mnaalikwa kuwa mashahidi. Ninyi mna thamani mbele ya Mungu, nami nawaalika, wanangu, kuwa watakatifu, ili mweze kupata uzima wa milele. Kwa hiyo mfahamu ya kwamba maisha haya hupita. Nawapendeni na kuwaalika kwa maisha mapya ya kutubu. Asanteni kwa kuitikia mwaliko wangu. ”
«Chers enfants, vous n’êtes pas conscients de quelles grâces vous vivez en ce temps où le Très-Haut vous donne des signes pour vous ouvrir et vous convertir. Revenez à Dieu et à la prière, et que, dans vos coeurs, vos familles et vos communautés, la prière commence à règner, afin que le Saint Esprit vous guide et vous incite à être chaque jour plus ouverts à la volonté de Dieu et à son plan pour chacun de vous. Je suis avec vous et, avec les Saints et les Anges, j’intercède pour vous. Merci d’avoir répondu à mon appel. »
  Medjugorje Website Upda...  
“Wanangu wapendwa, nawashukuru kwa kuitikia miito yangu na kukusanyika karibu nami, Mama yenu wa mbinguni. Najua kwamba mnanifikiri kwa upendo na matumaini. Mimi ninawapendeni nyote kama vile anavyowapendeni Mwanangu ambaye, kwa upendo wake wenye huruma, ananituma nije kwenu, mara nyingi pia. Yeye, aliyekuwa mtu na aliye Mungu, Mmoja na Utatu; Yeye aliyeteswa kwa ajili yenu mwilini na nafsini. Yeye aliyejifanya Mkate ailishe nafsi zenu na hivyo kuziokoa. Wanangu, nawafundisha jinsi ya kustahili upendo wake, kumwelekeza mawazo yenu, kumwishi Mwanangu. Mitume wa upendo wangu, ninawafunika kwa joho langu kwa sababu, kama Mama yenu, nataka kuwalinda. Nawasihi: mwuombee ulimwengu wote: moyo wangu unateswa. Dhambi zinaongezeka, ni nyingi mno. Lakini kwa msaada wenu – mlio wanyenyekevu, wanyofu, wenye upendo, watawa na watakatifu – moyo wangu utashinda. Mpendeni Mwanangu kupita wote na ulimwengu wote kwa njia yake. Msisahau kabisa ya kuwa kila ndugu yenu ana ndani yake kitu cha thamani: nafsi. Kwa hiyo, wanangu, pendeni wale wote wasiomjua Mwanangu ili kwa njia ya maombi na upendo utokao katika maombi, wawe wema zaidi. Ili wema uweze kushinda ndani yao. Ili nafsi zao ziweze kuokoka na kupata uzima wa milele. Enyi mitume wangu, wanangu. Mwanangu aliwaambieni mpendane. Hiyo iandikwe mioyoni mwenu na kwa kusali jaribuni kuishi upendo huu. Nawashukuru. ”
«Chers enfants, par la volonté du Père Céleste, en tant que mère de Celui qui vous aime, je suis ici avec vous pour vous aider à le connaître et à le suivre. Mon Fils vous a laissé les empreintes de ses pas afin que vous puissiez le suivre plus facilement. N’ayez pas peur, ne soyez pas indécis. Je suis avec vous. Ne vous laissez pas décourager car beaucoup de prières et de sacrifices sont nécessaires pour ceux qui ne prient pas, qui n’aiment pas et qui ne connaissent pas mon Fils. Venez-leur en aide en voyant en eux des frères. Apôtres de mon amour, soyez à l’écoute de ma voix en vous; ressentez mon amour maternel; pour cela, priez, priez en agissant, priez en donnant, priez avec amour, priez par les œuvres et par la pensée, au nom de mon Fils. Plus vous donnerez de l’amour, plus vous en recevrez. L’amour qui procède de l’Amour éclaire le monde. La Rédemption est l’amour, or l’amour n’a pas de fin. Quand mon Fils viendra à nouveau sur la terre, il recherchera l’amour dans vos cœurs. Mes enfants, nombreux sont les actes d’amour qu’il a posés pour vous. Je vous enseigne à les voir, à les comprendre et à lui rendre grâce en l’aimant et en pardonnant toujours à votre prochain, car aimer mon Fils signifie pardonner. On n’aime pas mon Fils si on refuse de pardonner à son prochain, si on refuse d’essayer de le comprendre, si on le juge. Mes enfants, à quoi la prière vous sert-elle si vous n’aimez pas et si vous ne pardonnez pas ? Je vous remercie. »
  Medjugorje Website Upda...  
“Wanangu wapendwa, kwa upendo wa kimama nawaombeni: pendaneni! mioyoni mwenu muwe kama Mwanangu alitaka tangu awali: kwanza kabisa kumpenda Baba wa Mbinguni na kuwa na upendo kwa jirani yenu, kuliko yote yaliyopo hapa duniani. Wanangu wapendwa, hamtambui dalili za nyakati hizi? Hamtambui ya kuwa yote yanayotokea kando kando yenu, hutokea kwa sababu hakuna upendo? Fahamuni kwamba wokovu hupatikana katika thamani za kweli, pokeeni uweza wa Baba wa Mbinguni, mpendeni na kumheshimu. Fuateni njia ya Mwanangu. Ninyi, wanangu, mitume wangu wapenzi, mnakusanyika siku zote daima kunizunguka maana mna kiu, mna kiu ya amani, ya upendo na ya furaha. Kateni kiu yenu katika mikono yangu! Mikono yangu yawatolea Mwanangu, aliye chemchemi ya maji safi. Yeye atafufua imani yenu na kusafisha mioyo yenu, kwa sababu Mwanangu hupenda kwa moyo safi na mioyo iliyo safi humpenda Mwanangu. Mioyo safi tu ndiyo minyenyekevu na yenye imani thabiti. Wanangu, nawaombeni ya kuwa na mioyo ya namna hii! Mwanangu aliniambia ya kuwa Mimi ni Mama wa ulimwengu wote: nawaombeni ninyi, mnaonipokea kama Mama, ili kwa maisha yenu, sala na sadaka nisaidieni ili wanangu wote wanipokee kama Mama, niweze kuwaongoza kwenye chemchemi ya maji safi. Nawashukuru! Wanangu wapenzi, wachungaji wenu wanapowatolea mwili wa Mwanangu, mshukuruni Mwanangu daima moyoni mwenu kwa sadaka yake na kwa wachungaji anayewajalia siku zote. ”
«Chers enfants, je suis ici parmi vous comme une mère qui désire vous aider à connaître la vérité. Lorsque je vivais votre vie sur la terre, j’avais la connaissance de la vérité, et simplement à travers cela, un petit morceau de Ciel sur la terre. C’est pourquoi je désire la même chose pour vous, chers enfants. Le Père Céleste désire des coeurs purs remplis de la connaissance de la vérité. Il désire que vous aimiez tous ceux que vous rencontrez, car moi-même j’aime mon Fils en chacun de vous. C’est ainsi que l’on commence à connaître la vérité. De nombreuses fausses vérités vous sont offertes. Vous les dépasserez avec un coeur purifié par le jeûne, la prière, la pénitence et l’Evangile. Ceci est l’unique vérité, et c’est la vérité que mon Fils vous a laissée. Vous n’avez pas besoin de l’examiner beaucoup. Il vous est demandé d’aimer et de donner, comme je l’ai fait moi aussi. Chers enfants, si vous aimez, votre coeur sera une demeure pour mon Fils et pour moi, et la Parole de mon Fils le guide de votre vie. Mes enfants, je me servirai de vous, les apôtres de l’amour, pour aider tous mes enfants à connaître la vérité. Mes enfants, j’ai toujours prié pour l’Eglise de mon Fils, et j’attends donc de vous la même chose. Priez pour que vos bergers resplendissent de l’amour de mon Fils. Je vous remercie. »